Methali 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu ambaye amemwekea dhamana mgeni+ hakika atapatwa na mabaya, lakini anayechukia kufanya mapatano kwa kupeana mkono hukaa bila wasiwasi. Methali 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu aliyepungukiwa moyoni hupeana mikono,+ akitoa dhamana kamili mbele ya mwenzake.+
15 Mtu ambaye amemwekea dhamana mgeni+ hakika atapatwa na mabaya, lakini anayechukia kufanya mapatano kwa kupeana mkono hukaa bila wasiwasi.