Ayubu 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tafadhali, weka rehani yangu kwako.+Kuna nani mwingine atakayenisalimu kwa mkono+ kuwa rehani? Methali 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwanangu, ikiwa umekuwa mdhamini wa mwenzako,+ ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono katika mapatano,+ Methali 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu ambaye amemwekea dhamana mgeni+ hakika atapatwa na mabaya, lakini anayechukia kufanya mapatano kwa kupeana mkono hukaa bila wasiwasi. Methali 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Usiwe kati ya wale wanaopeana mikono+ kwa mapatano, kati ya wale wanaoweka dhamana kwa ajili ya mikopo.+
6 Mwanangu, ikiwa umekuwa mdhamini wa mwenzako,+ ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono katika mapatano,+
15 Mtu ambaye amemwekea dhamana mgeni+ hakika atapatwa na mabaya, lakini anayechukia kufanya mapatano kwa kupeana mkono hukaa bila wasiwasi.
26 Usiwe kati ya wale wanaopeana mikono+ kwa mapatano, kati ya wale wanaoweka dhamana kwa ajili ya mikopo.+