Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tafadhali, weka rehani yangu kwako.+

      Kuna nani mwingine atakayenisalimu kwa mkono+ kuwa rehani?

  • Methali 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mwanangu, ikiwa umekuwa mdhamini wa mwenzako,+ ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono katika mapatano,+

  • Methali 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mtu ambaye amemwekea dhamana mgeni+ hakika atapatwa na mabaya, lakini anayechukia kufanya mapatano kwa kupeana mkono hukaa bila wasiwasi.

  • Methali 22:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Usiwe kati ya wale wanaopeana mikono+ kwa mapatano, kati ya wale wanaoweka dhamana kwa ajili ya mikopo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki