Mwanzo 43:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mimi nitakuwa dhamana kwa ajili yake.+ Umdai mkononi mwangu.+ Nisipomrudisha kwako na kumweka mbele yako, basi nitakuwa nimekutendea dhambi ya kudumu. Methali 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu aliyepungukiwa moyoni hupeana mikono,+ akitoa dhamana kamili mbele ya mwenzake.+ Methali 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Usiwe kati ya wale wanaopeana mikono+ kwa mapatano, kati ya wale wanaoweka dhamana kwa ajili ya mikopo.+
9 Mimi nitakuwa dhamana kwa ajili yake.+ Umdai mkononi mwangu.+ Nisipomrudisha kwako na kumweka mbele yako, basi nitakuwa nimekutendea dhambi ya kudumu.
26 Usiwe kati ya wale wanaopeana mikono+ kwa mapatano, kati ya wale wanaoweka dhamana kwa ajili ya mikopo.+