Hosea 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uasherati na divai na divai tamu ndivyo vinavyoondoa kusudi jema.+ Hosea 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakuu wamekuwa wagonjwa+ katika siku ya mfalme wetu—kuna ghadhabu kwa sababu ya divai.+ Amenyoosha mkono wake pamoja na wenye kudharau.
5 Wakuu wamekuwa wagonjwa+ katika siku ya mfalme wetu—kuna ghadhabu kwa sababu ya divai.+ Amenyoosha mkono wake pamoja na wenye kudharau.