Ezekieli 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, kwa sababu Tiro+ amesema juu ya Yerusalemu,+ ‘Aha! Amevunjwa,+ milango ya vikundi vya watu!+ Hakika mwelekeo wa mambo utageuka uwe kwangu. Nitajazwa—ameharibiwa,’+ Zekaria 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+
2 “Mwana wa binadamu, kwa sababu Tiro+ amesema juu ya Yerusalemu,+ ‘Aha! Amevunjwa,+ milango ya vikundi vya watu!+ Hakika mwelekeo wa mambo utageuka uwe kwangu. Nitajazwa—ameharibiwa,’+
15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+