1 Wafalme 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye alikuwa na uwezo wa kusema methali elfu tatu,+ na nyimbo+ zake zikawa elfu moja na tano. Methali 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Methali+ za Sulemani+ mwana wa Daudi,+ mfalme wa Israeli,+ Methali 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+ Mhubiri 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na ijapokuwa mkutanishaji alipata kuwa na hekima,+ pia aliendelea kuwafundisha watu ujuzi,+ naye alitafakari na kutafuta kwa bidii,+ apate kupanga methali nyingi kwa utaratibu.+
10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+
9 Na ijapokuwa mkutanishaji alipata kuwa na hekima,+ pia aliendelea kuwafundisha watu ujuzi,+ naye alitafakari na kutafuta kwa bidii,+ apate kupanga methali nyingi kwa utaratibu.+