Methali 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Maisha ya anasa hayamfai yeyote aliye mjinga.+ Sembuse mtumishi kuwatawala wakuu!+ Methali 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kama theluji wakati wa kiangazi na kama mvua wakati wa mavuno,+ kadhalika mtu mjinga hastahili utukufu.+
26 Kama theluji wakati wa kiangazi na kama mvua wakati wa mavuno,+ kadhalika mtu mjinga hastahili utukufu.+