45 Ndipo anaondoka na kwenda kuchukua roho tofauti saba walio waovu zaidi kuliko yeye mwenyewe,+ na, baada ya kuingia ndani, wao hukaa humo; na hali ya mwisho ya mtu huyo huwa mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza.+ Hivyo ndivyo itakavyokuwa pia kwa kizazi hiki kiovu.”+