Methali 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ewe mvivu, utaendelea kulala hata wakati gani?+ Utaamka wakati gani kutoka katika usingizi wako?+ Methali 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Uvivu huleta usingizi mzito,+ nayo nafsi yenye uvivu huteswa na njaa.+ Methali 24:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kulala kidogo, kusinzia kidogo, kukunja mikono kidogo ili kulala,+