Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+

  • Methali 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana mlevi na mlafi watakuwa maskini,+ na kusinzia kutamvika mtu nguo zilizopasuka.+

  • Methali 27:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nafsi ambayo imeshiba itakanyagia chini asali ya sega, lakini kwa nafsi yenye njaa kila kitu kichungu ni kitamu.+

  • 2 Wathesalonike 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki