Methali 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ulimi wa uwongo humchukia mtu aliyepondwa nao,+ na kinywa chenye kubembeleza husababisha mapinduzi.+ Waroma 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.
28 Ulimi wa uwongo humchukia mtu aliyepondwa nao,+ na kinywa chenye kubembeleza husababisha mapinduzi.+
18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.