Methali 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye anayeishika amri anailinda nafsi yake;+ anayedharau njia zake atauawa.+ Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, wenye furaha ni ninyi ikiwa mnayatenda.+ Yakobo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.
25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.