Zaburi 91:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Watakuchukua mikononi mwao,+Ili usiugonge mguu wako juu ya jiwe lolote.+ Zaburi 121:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawezi kamwe kuruhusu mguu wako utikisike.+Yeye anayekulinda hawezi kamwe kusinzia.+ Methali 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Unapotembea, mwendo wako hautasongwa;+ na ukikimbia, hutajikwaa.+ Isaya 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pito la mwadilifu ni unyoofu.+ Kwa kuwa wewe ni mnyoofu, utaifanya njia ya mwadilifu kuwa laini.+