31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+
9 Yesu akajibu: “Kuna saa kumi na mbili za nuru ya mchana, sivyo? Ikiwa yeyote anatembea katika nuru ya mchana+ hagongi kitu chochote, kwa sababu anaona nuru ya ulimwengu huu.