2 Mambo ya Nyakati 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+ Zaburi 107:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wale wanaoshuka baharini kwa meli,+Wanaofanya biashara katika maji mengi,+
21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+