Nehemia 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakaendelea kusoma+ kwa sauti katika kitabu hicho, katika sheria ya Mungu wa kweli, nayo ikafafanuliwa, na kuelezwa maana yake; nao wakaendelea kufafanua usomaji huo.+ Zaburi 49:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kinywa changu mwenyewe kitasema mambo ya hekima,+Na moyo wangu utatafakari mambo ya uelewaji.+ Methali 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+ na kumjua aliye Mtakatifu Zaidi ni uelewaji.+
8 Wakaendelea kusoma+ kwa sauti katika kitabu hicho, katika sheria ya Mungu wa kweli, nayo ikafafanuliwa, na kuelezwa maana yake; nao wakaendelea kufafanua usomaji huo.+