Zaburi 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Mwenye furaha+ ni mtu ambaye hakutembea katika shauri la waovu,+Na katika njia ya watenda-dhambi hakusimama,+Na katika kiti cha wenye dhihaka hakuketi.+ 1 Wakorintho 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.+
1 Mwenye furaha+ ni mtu ambaye hakutembea katika shauri la waovu,+Na katika njia ya watenda-dhambi hakusimama,+Na katika kiti cha wenye dhihaka hakuketi.+