Methali 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usipende usingizi, usije ukaingia katika umaskini.+ Fungua macho yako; ushibe mkate.+ Methali 24:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kulala kidogo, kusinzia kidogo, kukunja mikono kidogo ili kulala,+ Methali 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mvivu ameutia mkono wake katika bakuli la karamu; amechoka mno asiweze kuurudisha kwenye kinywa chake.+ Mhubiri 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mjinga anakunja mikono+ yake na kula nyama yake mwenyewe.+
15 Mvivu ameutia mkono wake katika bakuli la karamu; amechoka mno asiweze kuurudisha kwenye kinywa chake.+