Ayubu 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa habari ya jicho la mzinzi,+ limengojea giza la jioni,+Likisema, ‘Hakuna jicho litakaloniona!’+Naye hufunika uso wake. Waroma 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usiku umesonga sana; mchana+ umekaribia. Kwa hiyo na tuyaondoe matendo ya giza+ na tuvae silaha+ za nuru. Waefeso 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na mwache kushirikiana+ pamoja nao katika matendo yasiyozaa matunda, ambayo ni ya giza,+ lakini badala yake muwe hata mkiyakaripia,+
15 Kwa habari ya jicho la mzinzi,+ limengojea giza la jioni,+Likisema, ‘Hakuna jicho litakaloniona!’+Naye hufunika uso wake.
12 Usiku umesonga sana; mchana+ umekaribia. Kwa hiyo na tuyaondoe matendo ya giza+ na tuvae silaha+ za nuru.
11 na mwache kushirikiana+ pamoja nao katika matendo yasiyozaa matunda, ambayo ni ya giza,+ lakini badala yake muwe hata mkiyakaripia,+