Methali 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Uporaji wa waovu utawaondolea mbali,+ kwa maana wamekataa kufanya haki.+ Methali 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+ Isaya 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na anguko la waasi na la wenye dhambi litakuwa kwa wakati uleule mmoja,+ na wale wanaomwacha Yehova watafikia mwisho wao.+
18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+
28 Na anguko la waasi na la wenye dhambi litakuwa kwa wakati uleule mmoja,+ na wale wanaomwacha Yehova watafikia mwisho wao.+