Methali 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, mtu amepata mke mwema?+ Amepata kitu chema,+ na mtu hupata nia njema kutoka kwa Yehova.+ Methali 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urithi kutoka kwa akina baba ni nyumba na mali,+ lakini mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.+ 1 Wakorintho 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano+ na utukufu wa Mungu;+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.+
7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano+ na utukufu wa Mungu;+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.+