Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Waambie wana wa Israeli, ‘Ninyi ni watu wenye shingo ngumu.+ Kwa kitambo kidogo+ ningeweza kuingia katikati yenu na kuwaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu myaweke chini, kwa maana nataka kujua jambo nitakalowatendea ninyi.’”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana baba zetu wametenda kwa ukosefu wa uaminifu+ nao wametenda mabaya machoni pa Yehova Mungu wetu,+ hivi kwamba walimwacha+ na kugeuza nyuso zao kutoka kwenye maskani ya Yehova+ na kumpa visogo vyao.

  • Yeremia 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wamemkana Yehova, nao wanaendelea kusema, ‘Yeye hayuko.+ Na hakuna msiba utakaokuja juu yetu, nasi hatutaona upanga wala njaa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki