5 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Waambie wana wa Israeli, ‘Ninyi ni watu wenye shingo ngumu.+ Kwa kitambo kidogo+ ningeweza kuingia katikati yenu na kuwaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu myaweke chini, kwa maana nataka kujua jambo nitakalowatendea ninyi.’”+