21 Mimi nimeazimia kabisa kushuka ili nipate kuona kama wanatenda kabisa kulingana na kile kilio kilicho juu yake ambacho kimenifikia, na ikiwa sivyo, nitajua.”+
2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.