6 Na Yosefu ndiye aliyekuwa mwenye mamlaka juu ya nchi hiyo.+ Ndiye aliyewauzia watu wote wa dunia.+ Basi ndugu za Yosefu wakaja na kumwinamia kifudifudi.+
14 “Na wana wa wale wanaokutesa watakuja kwako, wakiwa wanainama;+ na wale wote wanaokuvunjia heshima watainama penye nyayo za miguu yako,+ nao watakuita wewe jiji la Yehova, Sayuni+ wa Mtakatifu wa Israeli.