Ayubu 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamenichukia, wamekaa mbali nami;+Nao hawakuacha kunitemea mate usoni.+ Methali 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndugu za mtu maskini wamemchukia wote.+ Nao, rafiki zake binafsi wamejitenga naye hata zaidi!+ Anawafuata akiwa na mambo ya kusema; nao hawapo.+
7 Ndugu za mtu maskini wamemchukia wote.+ Nao, rafiki zake binafsi wamejitenga naye hata zaidi!+ Anawafuata akiwa na mambo ya kusema; nao hawapo.+