14 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate+ moja kwa moja usoni pake, je, hangefedheheshwa siku saba? Na atengwe+ siku saba nje ya kambi,+ kisha apokewe ndani baadaye.”+
9 Ndipo mjane wa ndugu yake atamkaribia mbele ya macho ya wanaume wazee, avue kiatu cha mwanamume huyo kutoka mguuni+ pake, amtemee mate usoni,+ ajibu na kusema, ‘Hivyo ndivyo inavyopaswa kufanyiwa mwanamume ambaye hatajenga nyumba ya ndugu yake.’+
6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+