Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate+ moja kwa moja usoni pake, je, hangefedheheshwa siku saba? Na atengwe+ siku saba nje ya kambi,+ kisha apokewe ndani baadaye.”+

  • Kumbukumbu la Torati 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo mjane wa ndugu yake atamkaribia mbele ya macho ya wanaume wazee, avue kiatu cha mwanamume huyo kutoka mguuni+ pake, amtemee mate usoni,+ ajibu na kusema, ‘Hivyo ndivyo inavyopaswa kufanyiwa mwanamume ambaye hatajenga nyumba ya ndugu yake.’+

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+

  • Mathayo 27:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nao wakamtemea mate+ na kuuchukua ule utete na kuanza kumpiga kichwani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki