Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Matunda ya mwadilifu ni mti wa uzima,+ naye anayevuta nafsi za watu ni mwenye hekima.+

  • Matendo 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini nilitoa ushahidi+ kikamili kwa Wayahudi na Wagiriki pia juu ya toba+ kwa Mungu na imani katika Bwana wetu Yesu.

  • Matendo 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 lakini kwa wale walio katika Damasko+ kwanza na pia kwa wale walio katika Yerusalemu,+ na juu ya nchi yote ya Yudea, na kwa mataifa+ nilienda nikiuleta ujumbe kwamba wao wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayostahili toba.+

  • Yakobo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 jueni kwamba yeye anayemrudisha mtenda-dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake ataiokoa nafsi yake kutoka kwenye kifo+ naye atafunika dhambi nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki