Methali 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+ Methali 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 ndivyo alivyo mtu ambaye amemdanganya mwenzake na kusema: “Je, sikuwa nikifanya mzaha tu?”+ Mhubiri 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Moyo wa watu wenye hekima umo katika nyumba ya maombolezo,+ lakini moyo wa wajinga umo katika nyumba ya kushangilia.+
23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+
4 Moyo wa watu wenye hekima umo katika nyumba ya maombolezo,+ lakini moyo wa wajinga umo katika nyumba ya kushangilia.+