Methali 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Chungu cha kusafishia ni kwa ajili ya fedha,+ na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu;+ na mtu hulingana na sifa yake.+ Malaki 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.
21 Chungu cha kusafishia ni kwa ajili ya fedha,+ na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu;+ na mtu hulingana na sifa yake.+
3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.