Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kwa maana wao huendelea kupanda upepo, nao watavuna+ upepo wa dhoruba. Hakuna chochote chenye nafaka inayosimama.+ Hakuna chipukizi lolote linalotoa unga.+ Chipukizi lolote likiutokeza, wageni wataumeza.+

  • Mathayo 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?

  • Marko 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa kweli, mtu anapata faida gani ikiwa ataupata ulimwengu wote na kuipoteza nafsi yake?+

  • Yohana 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Fanyeni kazi, si kwa ajili ya chakula ambacho huharibika,+ bali kwa ajili ya chakula ambacho hudumu kufikia uzima wa milele,+ ambacho Mwana wa binadamu atawapa ninyi; kwa maana juu yake huyo, Baba, naam Mungu, ametia muhuri wake wa kibali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki