Waamuzi 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+ Methali 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ghafula kijana huyo akamfuata,+ kama ng’ombe-dume anayeenda machinjoni, na kama mtu mpumbavu aliyefungwa pingu atiwe nidhamu,
21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+
22 Ghafula kijana huyo akamfuata,+ kama ng’ombe-dume anayeenda machinjoni, na kama mtu mpumbavu aliyefungwa pingu atiwe nidhamu,