6 Basi siku iliyofuata wakaamka mapema, nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na kutoa dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama wapate kujifurahisha.+
7 Wala tusiwe waabudu-sanamu, kama baadhi yao walivyofanya;+ kama ilivyoandikwa: “Watu wakaketi ili wale na kunywa, nao wakasimama wapate kujifurahisha.”+