Ayubu 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ulinivika ngozi na nyamaUkanifuma kwa mifupa na kano.+ Zaburi 139:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana wewe mwenyewe uliumba figo zangu;+Wewe uliniweka nikiwa nimekingwa katika tumbo la mama yangu.+ Zaburi 139:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mifupa yangu haikufichwa kwako+Nilipofanyizwa katika siri,+Nilipoungwa katika sehemu za chini kabisa+ za dunia. Yeremia 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”
13 Kwa maana wewe mwenyewe uliumba figo zangu;+Wewe uliniweka nikiwa nimekingwa katika tumbo la mama yangu.+
15 Mifupa yangu haikufichwa kwako+Nilipofanyizwa katika siri,+Nilipoungwa katika sehemu za chini kabisa+ za dunia.
5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”