Ayubu 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana unaendelea kuandika juu yangu mambo machungu+Nawe unanifanya niyapate matokeo ya makosa ya ujana wangu.+ Zaburi 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+
26 Kwa maana unaendelea kuandika juu yangu mambo machungu+Nawe unanifanya niyapate matokeo ya makosa ya ujana wangu.+
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+