25 Na Yuda+ na Israeli wakaendelea kukaa salama,+ kila mtu chini ya mzabibu wake mwenyewe na chini ya mtini wake mwenyewe,+ kuanzia Dani mpaka Beer-sheba,+ siku zote za Sulemani.
11 “Kulikuwa na shamba la mizabibu+ ambalo Sulemani alikuwa nalo katika Baal-hamoni. Aliwapa watunzaji+ hilo shamba la mizabibu. Kila mmoja alikuwa akileta vipande elfu moja vya fedha kwa ajili ya matunda yake.