Isaya 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+ Yohana 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi ndiye mchungaji mwema, nami ninawajua kondoo+ wangu na kondoo wangu wananijua,+ Waebrania 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,
11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+
20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,