7 Naye kwa kweli atawafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi, lakini hatawafikia;+ naye hakika atawatafuta, lakini hatawapata. Naye atasema, ‘Nataka kwenda, nirudi kwa mume wangu,+ yule wa kwanza,+ kwa maana hali ilikuwa nzuri zaidi kwangu wakati huo kuliko ilivyo sasa.’+