1 Timotheo 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wakati huohuo wao hujifunza pia kutokuwa na kazi, wakizunguka-zunguka nyumba kwa nyumba; ndiyo, si kwamba hawana kazi tu, bali pia ni wenye kupiga porojo na wenye kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea juu ya mambo ambayo hawapaswi. Tito 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wawe na utimamu wa akili, safi kiadili,+ wafanyakazi nyumbani, wema, wakijitiisha+ kwa waume zao wenyewe, ili neno la Mungu lisitukanwe.+
13 Wakati huohuo wao hujifunza pia kutokuwa na kazi, wakizunguka-zunguka nyumba kwa nyumba; ndiyo, si kwamba hawana kazi tu, bali pia ni wenye kupiga porojo na wenye kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea juu ya mambo ambayo hawapaswi.
5 wawe na utimamu wa akili, safi kiadili,+ wafanyakazi nyumbani, wema, wakijitiisha+ kwa waume zao wenyewe, ili neno la Mungu lisitukanwe.+