Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 7:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 naye amegawanyika. Zaidi ya hayo, mwanamke mseja, na bikira, huhangaikia mambo ya Bwana,+ ili awe mtakatifu katika mwili wake na pia katika roho yake. Hata hivyo, mwanamke aliyeolewa huhangaikia mambo ya ulimwengu, jinsi anavyoweza kupata kibali cha mume wake.+

  • Wakolosai 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, viueni+ viungo vya mwili+ wenu vilivyo duniani kwa habari ya uasherati, uchafu, hamu ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na kutamani,+ ambako ni ibada ya sanamu.

  • 1 Petro 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Dumisheni mwenendo wenu ukiwa mzuri katikati ya mataifa,+ ili, katika jambo ambalo wanasema juu yenu ya kuwa ninyi ni watenda-maovu, waweze, likiwa tokeo la matendo yenu mazuri+ ambayo wameshuhudia kwa macho, kumtukuza Mungu katika siku ya ukaguzi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki