11 “Nilikuwa nimeshuka kwenda katika bustani+ ya milozi, nione matumba katika bonde la mto,+ nione kama mzabibu ulikuwa umechipuka, kama mikomamanga ilikuwa imechanua.+
10 Kwa maana kama vile mvua inayonyesha hushuka, na theluji, kutoka mbinguni nayo hairudi mahali pale, mpaka kwa kweli iwe imeinywesha dunia na kuifanya izae na kuchipuka,+ na mbegu kweli iwe imepewa mpandaji na mkate kupewa anayekula,+