Isaya 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana kabla ya mavuno, wakati ua linapofikia ukamilifu na ua linapokuwa zabibu inayoiva, lazima mtu pia akate vitawi kwa miundu na kuviondoa vikonyo, lazima avikate.+ Yohana 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondolea mbali,+ na kila tawi linalozaa matunda yeye hulisafisha,+ lipate kuzaa matunda zaidi.+
5 Kwa maana kabla ya mavuno, wakati ua linapofikia ukamilifu na ua linapokuwa zabibu inayoiva, lazima mtu pia akate vitawi kwa miundu na kuviondoa vikonyo, lazima avikate.+
2 Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondolea mbali,+ na kila tawi linalozaa matunda yeye hulisafisha,+ lipate kuzaa matunda zaidi.+