14 aliyejitoa mwenyewe+ kwa ajili yetu ili atukomboe+ sisi kutoka katika kila namna ya uasi-sheria na kujisafishia+ mwenyewe watu walio wake kwa njia ya pekee,+ walio na bidii kwa ajili ya kazi njema.+
7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+