1 Samweli 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza. Wimbo wa Sulemani 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Niambie, ewe ambaye nafsi yangu imekupenda,+ mahali unapochunga,+ mahali unapolaza kundi katikati ya mchana. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefungwa nguo za maombolezo kati ya makundi ya wenzako?”
20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza.
7 “Niambie, ewe ambaye nafsi yangu imekupenda,+ mahali unapochunga,+ mahali unapolaza kundi katikati ya mchana. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefungwa nguo za maombolezo kati ya makundi ya wenzako?”