Wimbo wa Sulemani 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi ni wa mpenzi wangu, naye mpenzi wangu ni wangu.+ Anachunga+ katikati ya mayungiyungi.” Yohana 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ndiye mchungaji+ mwema; mchungaji mwema huitoa nafsi yake kwa ajili ya kondoo.+ Ufunuo 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa sababu Mwana-Kondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga,+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji+ ya uzima. Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+
17 kwa sababu Mwana-Kondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga,+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji+ ya uzima. Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+