2 Samweli 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tena, Daudi akazichukua zile ngao za mviringo+ za dhahabu zilizokuwa kwa watumishi wa Hadadezeri, akazileta Yerusalemu. 2 Wafalme 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa kuhani akawapa wale wakuu wa mamia mikuki na ngao za mviringo zilizokuwa za Mfalme Daudi, ambazo zilikuwa katika nyumba ya Yehova.+ Ezekieli 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wana wa Arvadi,+ hata jeshi lako, walikuwa juu ya kuta zako pande zote, na watu mashujaa ndio waliokuwa katika minara yako mwenyewe. Walizitundika ngao zao za mviringo juu ya kuta zako kuzunguka pande zote.+ Wao wenyewe waliukamilisha uzuri wako.
7 Tena, Daudi akazichukua zile ngao za mviringo+ za dhahabu zilizokuwa kwa watumishi wa Hadadezeri, akazileta Yerusalemu.
10 Sasa kuhani akawapa wale wakuu wa mamia mikuki na ngao za mviringo zilizokuwa za Mfalme Daudi, ambazo zilikuwa katika nyumba ya Yehova.+
11 Wana wa Arvadi,+ hata jeshi lako, walikuwa juu ya kuta zako pande zote, na watu mashujaa ndio waliokuwa katika minara yako mwenyewe. Walizitundika ngao zao za mviringo juu ya kuta zako kuzunguka pande zote.+ Wao wenyewe waliukamilisha uzuri wako.