Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wenye furaha ni watu wanaojua vigelegele vya shangwe.+

      Ee Yehova, katika nuru ya uso wako wanaendelea kutembea.+

  • Isaya 60:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana kwako wewe jua halitakuwa tena nuru wakati wa mchana, na mwezi hautakupa tena mwangaza kuwa nuru. Na Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na Mungu wako kuwa urembo wako.+

  • 1 Yohana 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+

  • Ufunuo 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na jiji lile halihitaji jua wala mwezi kuliangaza, kwa maana utukufu wa Mungu ulilitia nuru,+ na taa yake ilikuwa yule Mwana-Kondoo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki