21 Lakini mimi nilikuwa nimekupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu ya kweli. Basi ni jinsi gani umebadilika kunielekea ukawa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni?’+
33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu, mwenye nyumba,+ aliyepanda shamba la mizabibu, akaweka ua kulizunguka, akachimba shinikizo la divai ndani yake, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima, kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+