Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 94:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana uamuzi wa hukumu utarudi hata kwa uadilifu,+

      Na wote walio wanyoofu moyoni wataufuata.

  • Isaya 42:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hatafifia wala kupondwa mpaka atakapoweka haki duniani;+ navyo visiwa vitaendelea kuingojea sheria yake.+

  • Isaya 60:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+

  • Tito 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 zikitufundisha kukataa kabisa kutomwogopa Mungu+ na tamaa za kilimwengu+ na tuishi kwa utimamu wa akili na uadilifu na ujitoaji-kimungu+ katikati ya mfumo wa mambo wa sasa,+

  • 2 Petro 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini kulingana na ahadi yake tunangojea mbingu mpya+ na dunia mpya,+ na humo uadilifu utakaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki