21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+
12 zikitufundisha kukataa kabisa kutomwogopa Mungu+ na tamaa za kilimwengu+ na tuishi kwa utimamu wa akili na uadilifu na ujitoaji-kimungu+ katikati ya mfumo wa mambo wa sasa,+