Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+ Zaburi 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kurudi kwa Yehova.+Na familia zote za mataifa zitainama mbele zako.+ Mathayo 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli, mataifa yatalitumainia jina lake.”+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kurudi kwa Yehova.+Na familia zote za mataifa zitainama mbele zako.+