Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na itakuwa katika siku hiyo+ kwamba patakuwa na mzizi wa Yese+ ambao utakuwa unasimama kuwa ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+ Mataifa yatamtafuta yeye ili kuuliza habari zake,+ na mahali pake pa kupumzikia patakuwa patukufu.+

  • Isaya 42:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hatafifia wala kupondwa mpaka atakapoweka haki duniani;+ navyo visiwa vitaendelea kuingojea sheria yake.+

  • Matendo 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina+ lingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kupitia hilo lazima sisi tupate kuokolewa.”+

  • Waroma 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na tena Isaya anasema: “Patakuwa na mzizi wa Yese,+ na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki